Kama inavyotajwa kwenye Mpango Mkakati wa AMDT 2023 – 2026, na pia kuelezwa kwenye Utaratibu wa M4P tunaofata, Taarifa na Huduma za Habari ni nyenzo muhimu kwa ustawi wa Sekta za Kilimo na mifumo yao ya masoko. Nyenzo hizi zinaweka muunganiko baina ya wakulima, wenye viwanda na watoa huduma kwa wakulima wakiwemo wasambazaji wa pembejeo nk. Huu ni ukurasa mahsusi kwa wahariri na wanahabari kupata taarifa na habari muhimu kuhusu AMDT na kazi zake.
Robust Features
Create Great Looking Websites with Essentials!
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore aliqua.